Sergio Aguero akiifungia Manchester City bao lake la pili dakika ya 55 baada ya kufunga lingine dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya mabingwa hao watetezi yamefungwa na Kevin de Bruyne dakika ya pili na Bernardo Silva dakika ya 79 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MAN CITY YAICHAPA 4-0 BRIGHTON ,AGUERO ATUPIA MBILI
By Alex Sonna
September 1, 2019 | 4:15 am

Related Stories
View all
Michezo
1 day ago
SIMBA SC YALAZIMISHWA SARE YA PILI MFULULIZO KAGAME CUP 2026
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wametoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Jamus SSFC katika mchezo wa hatua ya makundi wa michuano ya…
Michezo
3 days ago
YAS YAZINDUA MSIMU WA SITA WA ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Dkt. Riziki Pembe Juma (katikati), akifurahia jambo na wadhamini na wadau wa Yas Zanzibar International Marathon…
