Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 15 na 64 katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Bournemouth Uwanja wa Vitality. Bao la pili la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 43, wakati la Bournemouth limefungwa na Harry Wilson dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MAN CITY YAICHAPA 3-1 BOURNEMOUTH’AGUERO ATUPIA MBILI’
By Alex Sonna
August 26, 2019 | 2:51 am

Related Stories
View all
Michezo
3 days ago
HISTORIA NA MAFANIKIO YA TANZANIA PRISONS SC YAWEKWA WAZI KWA MASHABIKI, JIJINI DODOMA
Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Sehemu ya Huduma kwa wafungwa (OMS)Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Emmanuel Malisa,…
Michezo
3 days ago
SIMBA SC YAWASHA ‘MOTO’ CRDB FEDERATION CUP
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya TRA United katika mchezo wa kuisaka tiketi ya kufuzu nusu…
