Chipukizi wa England, Mason Mount akiifungia Chelsea bao la kuongoza dakika ya saba baada ya kiungo mwenzake, Mnigeria Wilfred Ndidi wa Leicester City kuanguka timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kusawazisha la Leicester City limefungwa na Ndidi dakika ya 67 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
CHELSEA YABANWA MBAVU 1-1 NA LEICESTER CITY EPL
By Alex Sonna
August 18, 2019 | 7:07 pm

Related Stories
View all
Michezo
8 hours ago
TRA DODOMA YAADHIMISHA MIAKA 30 KWA MATEMBEZI YA HISANI, BONANZA
DODOMA, 27 Juni 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imefanya Matembezi ya Hisani pamoja na Bonanza la Michezo ikiwa ni sehemu…
Michezo
16 hours ago
SENEGAL YAFUFUA MATUMAINI YA KUTINGA HATUA YA 32 BORA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Senegal imefufua matumaini ya kutinga hatua ya 32 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Iraq mabao 5-0…
