Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa-Ofisi ya Bunge, Bw. Daniel Eliufoo akimueleza jambo Katibu wa Bunge Bw. Stephen Kagaigai alipotembelea Banda la Ofisi ya Bunge kujionea shughuli zinazofanyika katika Banda hilo katika maonyesho ya 43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
Afisa wa Ofisi ya Bunge, Bw. Omary Machunda akiwapa Elimu kuhusu Bunge Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Maximillian iliyopo Tabata walipotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya 43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
Afisa wa Ofisi ya Bunge, Bw. Onesmo Laulau akiwapa Elimu kuhusu Bunge Wananchi walipotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya 43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
Afisa wa Bunge, Bw. Thomas Shawa akitoa elimu kuhusu Bunge kwa Wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya 43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
Afisa Mwandamizi wa Bunge, Bw. Peter Magati akiwapa elimu kuhusu Bunge Wanafunzi na Walimu kutoka Shule ya Msingi Real Hope kutoka Mbagala waliotembelea Banda la Ofisi ya Bunge katika maonyesho ya 43 Kimataifa ya Kibiashara ya Dar es Salaam yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijini Dar es Salaam.
NAIBU Spika wa Bunge, Daniel Sillo, ametoa wito kwa wananchi na wadau mbalimbali kushiriki katika kuchangia huduma za matibabu ya upandikizaji Uloto kwa Watoto…
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuiimarisha Taasisi ya viwango Zanzibar ( ZBS ) ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia duniani katika kuhakikisha ubora…