Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika mazungumzo na Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Othodox Afrika, Papa Beatitude Theodoros II,katika ofisi ndogo za Wizara zilizoko Dar Es Salaam.
May 23,2019
Waziria wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika mazungumzo na Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Othodox Afrika, Papa Beatitude Theodoros II pamoja na ujumbe alioambatana nao,katika ofisi ndogo za Wizara zilizoko Dar Es Salaam.
May 23,2019
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Othodox Afrika, Papa Beatitude Theodoros II katika Ofisi ndogo za Wizara zilizoko Dar Es Salaam,May 23,2019
Na Happy Lazaro, Arusha Jiji la Arusha limeendelea kuandika historia kwa kuvunja rekodi ya usajili wa Vikundi vya Ununuzi wa Umma (PPRA) nchini, hatua…
Na. Veronica Mwafisi-Kaliua Tarehe 10 Julai, 2026 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete…