Kampuni ya
mbolea ya OCP  yaendelea kutoa mafuzo ya kilimo bora katika mikoa ya Songwe na Njombe.

mafuzo hayo yanatolwa bure sambamba na upimaji wa afya ya udongo yana tarajiwa kuwafikia wakulima zaidi ya 20,000 katika awamu yake ya
kwanza.

Mmoja wa wakulia akitoa shukrani kwa niaba ya wakulia wa mikoa ya Songwe na Njombe mara baada ya mafuzo ya kilimo bora yaliyo tolewa jana na Kampuni ya mbolea ya OCP.

 Wakulima wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mafunzo hayo jana.