Mbunge wa Shinyanga Mjini, Mhe. Stephen Masele akielekea mbele ya kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazomkabili za utovu wa nidhamu tukio lililofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Mbunge wa Shinyanga Mjini, Mhe. Stephen Masele akifika mbele ya kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazomkabili za utovu wa nidhamu kabla ya kikao kilichofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, Mhe. Emmanuel Mwakasaka akiongoza kikao cha utovu wa nidhamu dhidi ya Mbunge wa Shinyanga Mjini, Mhe. Stephen Masele kilichofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Mbunge wa Shinyanga Mjini, Mhe. Stephen Masele akihojiwa mbele ya kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa tuhuma za utovu wa nidhamu katika kikao kilichofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Kocha wa Mbeya Kwanza, Mbwana Makata na Meneja David Naftali wamefungiwa kwa kipindi cha miaka mitano (5) kila mmoja kwa kosa la kushawishi/kuamuru wachezaji...