Siasa
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
KINANA ASHAURI BARABARA NNE DAR-TUNDUMA
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana akivishwa Skafu Alipowasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya. Makamu Mwenyekiti wa…
SHAKA AMMWAGIA SIFA KINANA, ATAMBA KAZI ZA MAENDELEO KUUFUTA UPINZANI MBEYA
Demokrasia ya vyama vingi nchini imekuwa na lengo la kuharakisha maendeleo kwa wananchi. Ikiwa chama kinachoongoza serikali kinaifanya kazi hiyo kwa weledi wananchi hawana…
KINANA AMSHAURI IGP KUFANYA TATHMINI WINGI WA TRAFIKI BARABARANI
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinanana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Camilius Wambura kufanya…
TAARIFA YA UCHAGUZI WA WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI KWA WANACHAMA WA CCM
Taarifa inatolewa kwa wanachama wote wa CCM, walio na nia na sifa za kuweza kugombea na kuchaguliwa kuwa Wabunge wa Bunge la Afrika…
KINANA ATAJA SIRI YA UONGOZI WENYE KULETA MAFANIKIO KWA WANANCHI
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amewapongeza na kuwataka viongozi wote wanaochapa kazi na kuwataka waendelee kushirikiana…
KINANA AWATAKA VIONGOZI KUWASIKILIZA WANANCHI
lMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo Julai 26,2022 alipokuwa akizungumza na wana CCM na wananchi mjini Sumbawanga baada ya…
KINANA:SEKTA BINAFSI INAANZA NA WANANCHI WA KAWAIDA, ATOA MAELEKEZO KWA VIONGOZI.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Komred Abdulrahmani Kinana akikata Utepe kuzindua Jengo la Kitega Uchumi Cha CCM Mkoa wa Rukwa, kulia ni…
KINANA:SEKTA BINAFSI INAANZA NA WANANCHI WA KAWAIDA
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana amewataka viongozi na watendaji wa serikali kuhakikisha wanarahisisha ufanyaji wa shughuli za wananchi kwa…
ABDULRAHMAN KINANA AWASILI MKOANI RUKWA, AWAHAKIKISHIA WANACCM KUISIMAMIA SERIKALI KULETA MAENDELEO
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Bw. Joseph Mkirikiti wakati alipowasilia mkoani Rukwa na…