KATIBU MKUU CCM DANIEL CHONGOLO AWASILI MEATU
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo akisaliiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Meatu Ndugu Juma Mwiburi baada ya kuwasili katika…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo akisaliiana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Meatu Ndugu Juma Mwiburi baada ya kuwasili katika…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akiwahutubia viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi wilayani Maswa katika mkutano uliofanyika uwanja wa Nguzo…
Kinamama wakigalagala kuonyesha heshima na furaha yao kwa ujio wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na na Uenezi, Shaka…
*********************** Na Mwamvua Mwinyi, Chalinze Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amegawa baadhi ya vifaa vitakavyowezesha usajili wa wanachama Kidigital jimboni hapo. Ridhiwani…
Meneja Mradi wa Reli ya Kisasa ya Umeme SGR -TRC Mhandisi Machibya Masanja akiwatambulisha wakandarasi wa mradi huo Kwa Katibu Mkuu wa Chama Cha…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndugu Daniel Chongolo akivishwa skafu na vijana wa UVCCM mara baada ya kuwasili katika kata ya Isanga Njiapanda…
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga akihutubia wakazi wa shina namba 6 Negezi kwa Balozi Tungu Kashinje Migonzo,…
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, akipata maelezo kutoka kwa Dalini Makwaya kuhusu mche wa…
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo akimsikiliza Bi. Nice Munisi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Shinyanga DC wakati akitoa maelezo kuhusu…
Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amewaelekeza viongozi wa Serikali wilayani Shinyanga kusimamia wamiliki wa migodi ili watoe zana za usalama kwa wachimbaji wadogo…