Siasa
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE AHANI MSIBA WA RAIS WA ZAMANI WA ALGERIA JENERALI MSTAAFU LIAMINE ZEROUL
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo April 1, 2026 ametia saini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa zamani wa Algeria, Jenerali…
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA 13 WA AMANI, ULINZI, USALAMA NA SERA ZA MAMBO YA NJE EAC
Mkutano wa 13 wa Pamoja wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Ushirikiano katika Ulinzi, Amani na Usalama na Baraza la Kisekta la Uratibu…
RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA ITALIA NCHINI TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Italia nchini Tanzania Mhe.Giuseppe Sean Coppola, na ujumbe…
KIKWETE, MUTHARIKA WAKUTANA LILONGWE KUJADILI AMANI NA USULUHISHI WA MIGOGORO SADC
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) (Panel of…
RAIS SAMIA MSIBANI KWA LUKUVI KARIMJEE.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili tayari kuwaongoza waombolezaji katika kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi…
KIHONGOSI APONGEZA UJENZI WA DARAJA LA BILIONI 12.5 KAGERA
Na Silivia Amandius Muleba. Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na MNEC Taifa, Ndg. Kenani Kihongosi, ameipongeza…
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 kwa kuwa muda wa…
SOKO LA KISASA BUKOBA KUGHARIMU BILIONI 18, KIHONGOSI ATOA MAELEKEZO KWA MKANDARASI
Silivia Amandius Bukoba. Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi, Ndg. Kenani Kihongosi, amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi…