Biashara
July 13, 2024
Na Sophia Kingimali. Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mgeni Hassan Juma amesema wanawake wamekuwa mabalozi wa kupinga ukatili wa kijinsia na kuchangamkia…
By John Bukuku
Biashara
July 13, 2024
Mhe. Balozi Phaustine Kasike akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Bw. Saleh Saad Muhammed. Mkutano huo ulifanyika kwenye Ofisi…
By John Bukuku
Biashara
July 13, 2024
Mkutano huo ulifanyika kwenye Ofisi za TANTRADE zilizopo kwenye Viwanja vya Sabasaba, Dar es Salaam ambapo Viongozi hao wawili walikubaliana kushirikiana katika kutafuta Wafanyabiashara…
By John Bukuku
Biashara
July 10, 2024
Wakala wa vipimo WMA imezishauri Halmashauri kuanzisha vituo vya kuuzia mazao kila Halmashauri ambavyo vitasaidia kuondoa changamoto ya vipimo vya shehena au Lumbesa kwa…
By John Bukuku
Biashara
July 10, 2024
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tume ya Ushindani FCC akizungumza na Roberta Feruz Mkuu wa Mawasiliano FCC kushoto na kulia ni Josephat Mkizungo Meneja…
By John Bukuku
Biashara
July 9, 2024
NA JOHN BUKUKU, DAR ES SALAAM Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeanza kutekeleza Kampeni ya ‘Zinduka, Usiumizwe, Kopa kwa Maendeleo’ ambayo imelenga kutoa elimu…
By John Bukuku
Biashara
July 9, 2024
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. WATEJA waliokuwa wameweka fedha kwenye Benki ambazo zimefilisiwa na Benki Kuu ya Tanzania BoT wametakiwa kwenda kuchukua stahiki…
By John Bukuku
Biashara
July 9, 2024
MAMLAKA ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imeanza kufanya kazi kwa mujibu wa sheria mpya ya manunuzi, ambapo pamoja na mambo mengine inaelekeza…
By John Bukuku
Biashara
July 9, 2024
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 09, 2024 amezindua Tawi la Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) mkoani Morogoro, ambalo kwa kiasi kikubwa litasaidia…
By John Bukuku