Friday, May 8, 2026

joseph

Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.

17665 Stories
WATANZANIA WATAKIWA KUMUOMBEA RAIS MAANA ANAWAJALI

WATANZANIA WATAKIWA KUMUOMBEA RAIS MAANA ANAWAJALI

***************************************** Na Woinde Shizza, ARUSHA WATANZANIA wanapaswa kumshukuru Mungu katika janga la corona na kumuombea Rais Magufuli kwa kuwaondolea hofu kwa kuwa awali hofu…

ML 700 ZAMALIZA KERO YA MAJI KIPAPA NA MHILO

ML 700 ZAMALIZA KERO YA MAJI KIPAPA NA MHILO

Meneja Ufundi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Manispaa ya Songea(Souwasa)Jafari Yahaya akimtwisha ndoo ya maji  jana Mwanafunzi wa kidato cha…

TANROADS MANYARA YAPITISHA BAJETI YA MWAKA 2021/2022

TANROADS MANYARA YAPITISHA BAJETI YA MWAKA 2021/2022

************************************* Na Mwandishi wetu, Babati WAKALA wa barabara (TANROADS) Mkoani Manyara imejipanga kutekeleza matengenezo ya kilomita 1,869.2 za barabara na madaraja 130 kwa makisio…

JAMII YAASWA KULINDA MIUNDOMBINU YA MICHEZO

JAMII YAASWA KULINDA MIUNDOMBINU YA MICHEZO

**************************************** Jamii imetakiwa kulinda, kutunza na kutumia vizuri miundombinu ya michezo ikiwemo viwanja ili kutoa fursa kwa vijana kutumia miundombinu hiyo kwaajili ya kukuza…

Faidika kukopesha zaidi ya Sh 50 bilioni

Faidika kukopesha zaidi ya Sh 50 bilioni

*********************************** Na Mwandishi wetu Dar es Salaam. Taasisi ya huduma za kifedha ya Faidika imetenga zaidi ya Shilingi billion 50 kwa ajili ya kuwakopesha…

Mweli atua Umbwe Mti Safi; Akagua ukarabati wa shule

Mweli atua Umbwe Mti Safi; Akagua ukarabati wa shule

**************************************** Nteghenjwa Hosseah, Kilimanjaro Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli ametembelea shule ya Sekondari ya Wavulana Umbwe iliyopo Halmashauri ya Moshi…