Bondia Hassan Mwakinyo amepoteza pambano dhidi ya Liam Smith baada ya kupigwa kwa TKO

Pambano hilo lilikuwa na mizunguko 12 liliishia mzunguko wa 4 baada ya Mwakinyo kupiga goti wakati pambano likiendelea

Pambano hilo limefanyika katika ukumbi wa M & S Arena mjini Liverpool nchini Uingereza