Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi, Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya Wawakilishi kutoka nchi za SADC waliofika kumpokea alipowasili Jijini Washington Nchini Marekani kwa ajili ya kuanza ziara ya Kikazi leo tarehe 13 April 2022.
RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN,AWASILI JIJINI WASHINGTON MAREKANI
By Alex Sonna
April 14, 2022 | 5:30 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
4 minutes ago
DC SITTA AWATAKA WAJASIRIAMALI KUTUMIA FURSA ZA SERIKALI KUIMARISHA BIASHARA ZAO
NA DENIS MLOWE, IRINGA WITO umetolewa kwa wajasiriamali nchini kutumia kikamilifu fursa mbalimbali zinazowekwa na Serikali ili kuongeza uzalishaji, kupanua masoko na kukuza biashara…
Mchanganyiko
11 minutes ago
CCM TANGA YAKABIDHI MILIONI 500 KUKAMILISHA UJENZI WA NYUMBA 36 ZA WATUMISHI
Yalenga Kuimarisha Ufanisi wa Chama Na Oscar Assenga, TANGA Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kimeongeza kasi ya utekelezaji wa mradi wake wa…


