2023
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
RAID YAKUBALI MWALIKO WA MUDA MREFU WA KUTEMBELEA MGODI WA NORTH MARA
Mgodi wa Dhahabu wa North Mara umethibitisha kwamba shirika lisilo la kiserikali la nchini Uingereza linalojishughulisha na masuala ya Haki na Binadamu na uwajibikaji…
WAZIRI LELA AZINDUA KONGAMANO LA MAPINDUZI KIST
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh.Lela Muhammed Mussa akifungua kongamano la miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, lililoandaliwa na Serikali…
DKT. TAX AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA WIZARA MTUMBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb), ametembelea na kujionea namna ujenzi wa jengo la Wizara…
RAIS WA ZANZIBAR DK.MWINYI AFUNGUA HOSPITALI YA WILAYA KITOGANI KUSINI UNGUJA.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(wa pili kulia) akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika sherehe ya ufunguzi wa Hospitali ya Wilaya Kitogani…
MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MKUU AKIWA ZIARA MKOA WA RUVUMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua shughuli za uchimbaji makaa ya mawe, katika Kampuni ya Jitegemee Holdings, Mdunduwalo, Luanda mkoani Ruvuma, Januari 07, 2023. Kushoto…
FEI TOTO BADO NI MCHEZAJI WA YANGA:TFF
KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imeamua kwamba kiungo Feisal Salum Abdallah bado ni mchezaji halali wa…
CCM SHINYANGA : MOTO UMEWASHWA ,TUMEJIANDAA KWA MIKUTANO YA HADHARA
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mabala Kashindye Mlolwa akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jumamosi Januari 7,2023 katika ofisi za Makao Makuu…
WADAU SMZ NA SMT WAJADILI ANDIKO LA MAPENDEKEZO YA SHERIA YA UTAFUTAJI NA UOKOAJI
Dkt. Devotha Mandanda, Mwanasheria kutoka TASAC akifanya wasilisho la mapendekezo ya andiko la Sheria ya Utafutaji na Uokoaji. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya…
WANACHUO WAASWA KULINDA MAZINGIRA
Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Andrew Komba (kulia) akishiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika Hospitali ya…