Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Vietnam nchini Tanzania Mhe. Nguyen Nam Tien katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Mkoani Dar es Salaam leo tarehe 13 Septemba, 2023.
PICHA: SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA BALOZI WA VIETNAM
By Alex Sonna
September 13, 2023 | 9:28 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
53 minutes ago
RAIS DKT. MWINYI AIHAKIKISHIA CRDB USHIRIKIANO KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na uongozi pamoja na wajumbe wa Bodi ya Benki…
Mchanganyiko
1 hour ago
FRANONE MINING INAVYOSAIDIA JAMII KUPITIA CSR SIMANJIRO
Na Mwandishi wetu, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining & Gem LTD imenufaisha jamii mbalimbali Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kupitia miradi tofauti ya maendeleo ikiwemo…