Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Vietnam nchini Tanzania Mhe. Nguyen Nam Tien katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Mkoani Dar es Salaam leo tarehe 13 Septemba, 2023.
PICHA: SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA BALOZI WA VIETNAM
By Alex Sonna
September 13, 2023 | 9:28 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
41 minutes ago
NCHIMBI MGENI RASMI SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI 2026 DODOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajia kuwa mgeni rasmi Siku ya Mazingira Duniani (WED) 2026…
Mchanganyiko
3 hours ago
DKT. MUNISI AKUTANA NA KUFANYA KIKAO KAZI NA WAKURUGENZI WA IDARA YA AJIRA NA UKUZAJI UJUZI
Na. OWM (KAM) Dodoma Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Dkt. Evaline Munisi amekutana na kufanya kikao…