Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Vietnam nchini Tanzania Mhe. Nguyen Nam Tien katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Mkoani Dar es Salaam leo tarehe 13 Septemba, 2023.
PICHA: SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA BALOZI WA VIETNAM
By Alex Sonna
September 13, 2023 | 9:28 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
1 hour ago
TRA YAIMARISHA USHIRIKIANO NA WADAU KATIKA KUKUZA MAADILI
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya Kikao Kazi cha Kwanza cha Jukwaa la Ushauri la Wadau wa TRA kuhusu Maadili, kinachofanyika mkoani Morogoro, kwa…
Mchanganyiko
1 hour ago
BALOZI WA CHINA, MKE WA RAIS WA SOMALIA WAMFARIJI RAIS SAMIA
Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Chen Mingjian, akimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja,…