Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Vietnam nchini Tanzania Mhe. Nguyen Nam Tien katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Mkoani Dar es Salaam leo tarehe 13 Septemba, 2023.
PICHA: SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA BALOZI WA VIETNAM
By Alex Sonna
September 13, 2023 | 9:28 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
3 hours ago
TANZANIA YAONGEZA KASI KATIKA HUDUMA YA UPANDIKIZAJI WA ULOTO
Na John Mapepele- Dodoma Serikali imeeleza dhamira yake ya kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha huduma za afya za kibingwa katika Afrika Mashariki na Kati…
Mchanganyiko
3 hours ago
BALOZI NYAMANGA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA 121 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA OACPS
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Mhe. Jestas Abuok Nyamanga, kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud…