Infinix KUSHEREHEKEA MSIMU WA WAPENDANAO NA WATEJA WAKE.
Mwaka 2021 unazidi kuwa mwaka mzuri kwa wateja na wadau wote wa simu za Infinix. Hii inajidhihirisha kwa kufuatilia mwenendo wa kampuni ya simu…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Mwaka 2021 unazidi kuwa mwaka mzuri kwa wateja na wadau wote wa simu za Infinix. Hii inajidhihirisha kwa kufuatilia mwenendo wa kampuni ya simu…
………………………………………………………………………….. NA NAMNYAK KIVUYO, ARUSHA. Kampuni inayojishughulisha na upimaji wa udongo kwa wakulima wakubwa,wakati na wadogo(LSSL)imeiomba serikali kupitia maafisa ugani kutoa elimu kwa wakulima…
Mchungaji wa Power of God Fire Church, Dankton Rweikila. ***************************** WATANZANIA wametakiwa kupuuza taarifa za uzushi zinazotolewa na wapotoshaji na badala yake waamini na…
…………………………………………………………………….. NA NAMNYAK KIVUYO, ARUSHA Walimu wakuu wa shule za msingi wametakiwa kutumia mafunzo waliyoyapata kurekebisha matatizo yaliyopo katika shule wanazoziongoza na sio kusubiri…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki,akizungumza na kamati ya kudumu ya Bunge,Mifugo,Kilimo na Maji katika kikao chenye lengo la kuwapa uwelewa masuala ya…
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani (kushoto), Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA), Erasto Simon (katikati) na Mhandisi…
Wajumbe wa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui wakiomba dua jana kabla ya kuanza kikao cha kupitisha mapendekezo ya makisio ya shilingi bilioni…
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa Dkt.Elirehema Dorie akizumngumza wakati wa uzinduzi wa bidhaa mpya iliyoanzishwa na shirika hilo ijulikanayo kama Bima…
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akifuatilia Mkutano wa 34 wa kawaida wa Wakuu wa…