Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ,amekutana na kufabya mazungumzi na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe.Olesegun Obasanjo Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma Leo Mei 3,2021.
NAIBU Waziri wa Ujenzi Eng. Godfrey Kasekenya, amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), kushirikiana na sekta binafsi na taasisi za elimu ya…