Mtoto
Samwel Michael Gimeno (miaka 8) akizungumza wakati wa uzinduzi wa kitabu chake
MAMA Mzazi wa Samweli Suzana Senso akizungumza wakati wa uzinduzi huo
Mkurungezi wa Fursa Bi Suma Mwaitenda kulia akimkabidhi kitabu hicho Samweli mara baada ya kufanya uzinduzi
MAMA
Mzazi wa Samweli Suzana Senso kushoto akimpatia nakala ya kitabu
kilichoandikiwa na Mwanae Mtangazaji wa Kipindi cha Njia Panda cha
Clouds FM Radio Dkt Isaac Maro wakati wa uzinduzi huo
![]() |
| Mtoto Samwel Michael Gimeno (miaka 8) akiwa kwenye picha ya pamoja na familia yake na mdogo wake Alan Michael Gimeno |
Samwel Michael Gimeno (miaka 8) katikati akiwa kwenye picha mara baada ya uzinduzi wa kitabu chake
Jumamosi tarehe 7/12/2019 ilikuwa siku ya pekee wa mtoto
Samwel Michael Gimeno (miaka 8) ambae alibahatika kuzindua kitabu chake
cha kwanza ndani ya fursa ya Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Julius
Nyerere International Conference Center
Ameweka kipaji cha kuandika na kuchora na Sisi kama wazazi wake tumeamua
kumsaidia ili kuiishi ndoto yake maneno hayo yamesema na mama mzazi wa
Bi Suzana Senso
watoto Yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu ikiwa sehemu ya
samwel kurudisha kwa watoto wezake wanaoishi kwenye mazingira magumu
ambao ni mara chache sana kupata kitabu kinzuri na chenye hadithi za
kwenye Biblia kutokana na mazingira wanayoishi maneno hayo yamesemwa na
baba wa Samwel Bw Michael Samwel Gimeno
Ni maneno yatakayo kwenda kutumika kwenye kampeni samwel ambayo itakuwa
nikutembelee vituo vya watoto yatima na watoto wanaoishi kwenye
mazingira magumu na kuwagawia vitabu ili nao waweze kusoma sio tu
kusoma kitabu tu ila pia kusoma kitabu kilichoandikwa na mtoto mwezao
tarehe 14/2/2020 ambapo samwel atakwenda kula na watoto wanaoishi
kwenye kituo cha watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu
ambacho tutakitaja siku zijazo na pia kuwagaia vitabu ya BIBLIA YANGU
support kutoa nakala ya vitabu ambavyo tunatajia kuvigawa kwenye vituo
vya watoto yatima Kwani hii kampeni haina mfadhili wa kufanya Ila ni
wazazi tu ndio tunaifanya na tunatamani kuwafikia watoto wengi sana
Kwa yeyote atakae wiwa kuungana nasi kwenye Hii kampuni anaweza ku wasiliana Kupitia namba 0736 372138
Tukiwa kama wazazi wa Samwel tunapenda kuwashukuru Joel Kiiya ambae ni
mentor wa Samwel, Bi Ezabel Simuyu ambae ndie ame design kitabu,
photography wake Muki, Emanuel, Mkurungezi wa Fursa na wale waliotumia
muda wao kufanikisha kitabu cha “BIBLIA YANGU” hadi kutoka.





