Afisa Ugavi wa Wizara ya Katiba na Sheria Amani Goha akipanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo. Kushoto ni Mh. Dkt Balozi A. Mahiga Waziri wa Wizara hiyo.
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari (HGCU) wa Wizara ya Katiba na Sheria Karimu Meshack akipanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo
Katibu Mkuu wa Katiba na Sheria {kushoto} Prof. Sifuni Mchome akimsaidia Waziri wa Wizara hiyo Dkt. Balozi A. Mahiga katika zoezi la upandaji mti eneo la Wizara Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo
Katibu Mkuu wa Katiba na Sheria {wa kwanza} Prof. Sifuni Mchome akimuongoza Waziri wa Wizara hiyo kuelekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya upandaji miti Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Mtumishi (Dereva) wa Wizara ya Katiba na Sheria Kassim Abdallah akipanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria Philp Makenzi (kushoto) na Stephen Malimiru (kulia) wakipanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) {katikati} akiandaa shimo kabla ya kupanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) {katikati} akijiandaa kupanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) {kushoto} akichagua miti kabla ya kuanza zoezi la upandaji miti katika maeneo ya Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) {kushoto} akijiandaa kupokea mti kabla ya kuupanda katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) {kushoto} akimwagilia mti baada ya kuupanda katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) akipanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) akirudishia udongo baada ya kupanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Dkt Balozi Agostino Mahiga (Mb) akirudishia udongo baada ya kupanda mti katika eneo la ofisi za Wizara hiyo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma leo