WAZIRI MKUU: MAONESHO YA SADC NI FURSA PEKEE KWA WATANZANIA
By Alex Sonna
August 6, 2019 | 1:54 pm

Related Stories
View all
Mchanganyiko
2 hours ago
PUGU KAZIMZUMBWI: HAZINA YA UTALII INAYOHIFADHI HISTORIA NA BIOANUAI
*Wahifadhi wa Sao Hill wavutiwa na mafanikio ya utalii ikolojia, watakiwa kuhamasisha kura za Tuzo za Kimataifa za Utalii Na Mwandishi Wetu, Pwani Hifadhi…
Mchanganyiko
2 hours ago
SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA WAZEE NA FURSA ZA KIUCHUMI KWA VIJANA – MAHUNDI
Na Jackline Minja- WMJWM Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema Serikali itaendelea kuweka…
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa George Lous Chuwa kuhusu bidhaa mbalimbali wakati alipotembelea banda la Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) katika Maonyesho ya Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Viwanda kwa Nchi za SADC kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Agosti 6, 2019. Wapili kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi.



