Makamu wa Pili wa Rais, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (wapili kushoto), akimkabidhi Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Benny Mwaipaja, tuzo ya mshindi wa pili miongoni mwa mabanda bora ya Wizara, Idara na Taasisi za serikali.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango na Msemaji wa Wizara hiyo Bw. Benny Mwaipaja, akionesha moja kati ya tuzo mbili ambazo Wizara imenyakua kwenye maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa (DITF), Dar es Salaam
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango na Msemaji wa Wizara hiyo Bw. Benny Mwaipaja, akionesha tuzo mbili ambazo Wizara imenyakua kwenye maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa (DITF), Dar es Salaam
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Benny Mwaipaja aliyeshika tuzo, (katikati) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania-TANTRADE, Bw. Edwin Rutageruka (kulia) na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bw. Felix Lyaniva, muda mfupi baada ya Wizara ya Fedha na Mipango kukabidhiwa tuzo mbili za mshindi wa pili wa Banda Bora na Mfumo Bora wa Ukusanyaji Maduhuli ya Serikali (GePG)
Baadhi ya washiriki wa Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa kutoka Wizara ya Fedha na Mipango wakifurahia tuzo mbili ambazo Wizara imepata katika Maonesho hayo.
Baadhi ya washiriki wa Maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa kutoka Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Taasisi zake, wakifurahia tuzo nne ambazo Banda la Wizara limepata katika Maonesho hayo.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Wizara ya Fedha na Mipango)