Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest news

WAKUTANA KUJADILI UIMARISHAJI MIFUMO DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA

Shirika lisilo la kiserikali la DSW Tanzania linalojishughulisha na afya na maendeleo ya vijana kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum wametoa mafunzo ya kuimarisha mifumo ya kuzuia ukatili wa kijinsia mkoani Mbeya. Mafunzo hayo ya siku mbili yanatolewa katika kikao kazi kinachofanyika kwenye ukumbi wa Meya uliopo jengo la Halmashauri ya Jiji la

John Bukuku By John Bukuku

MIAKA 60 YA MUUNGANO: TUNAUHITAJI ZAIDI MUUNGANO KULIKO UNAVYOTUHITAJI

Na Dk. Reubeni Lumbagala, Kongwa, Dodoma KESHO kutwa Aprili 26, 2024 inatimia miaka 60 tangu Tanganyika na Zanzibar ziungane na kuunda Jamhuri Muungano wa Tanzania. Kwa hakika tuna kila sababu ya kujivunia muungano huu ambapo umedumu kwa miaka miaka 60 sasa. Kwa sheria za kazi na utumishi wa umma, mtu mwenye umri wa miaka 60 anapaswa kustaafu kazi. Hivyo miaka

John Bukuku By John Bukuku

FAMILIA PANDE ZOTE HAZITAKI TUOANE

Jina langu Lulu kutokea Mara nchini Tanzania, nakumbuka wakati tunataka kufunga ndoa, upande wa baba wa mume wangu walikuwa wanamzuia asioe wakisema bado mapema kwake. Ilikuwa hekaheka nyingi mpaka wakakubari kwa wazee aliolala usingizi wa milele, walishtakiwa jambo hilo kuwa mjukuu wao hawasikilizi kabisa. Sasa ikatangazwa ndoa, upande wa baba kutoka kwangu nao wakawa hawataki wakasema kama ni hivyo watasusa,

John Bukuku By John Bukuku

KATIBU MKUU, CCM AWAPONGEZA MABALOZI WAKIKAMILISHA WARSHA YA SIKU 4 KIBAHA

Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewatembelea Mabalozi wa Tanzania wanaoshiriki warsha ya siku 4 ambayo imekamilika mjini Kibaha leo Aprili 24, 2024 kwa kufikia makubaliano mbalimbali ambayo yanalenga kuipaisha diplomasia ya Tanzania duniani. Dkt. Nchimbi aliwapongeza Mabalozi hao kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kuitangaza nchi na kuchangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la biashara, uwekezaji na utalii nchini.

John Bukuku By John Bukuku

SERIKALI: YAZITAKA TAASISI ZA FEDHA ZA KUTOA MIKOPO KUFUATA UTARATIBU

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akijibu swali bungeni jijini Dodoma la Mheshimiwa Felista Deogratius Njau, Mbunge Viti Maalum aliyetaka kufahamu hatua zinazochukuliwa na Serikali kwa Taasisi za Fedha zinatoa mikopo yenye riba kubwa kinyume na muongozo wa BoT. .......................,  Na. Josephine Majura, WF, Dodoma Serikali imesema kuwa inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera, kiutawala na kisheria ili

John Bukuku By John Bukuku

WELEDI NA UAMINIFU WAIBUA MFANYAKAZI HODARI OFISI YA RAIS-UTUMISHI

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi akizungumza na watumishi wa ofisi yake wakati wa kikao kazi chake na watumishi wa ofisi hiyo kilicholenga kuzungumzia masuala ya kiutumishi na kuchagua Mfanyakazi Hodari kwa mwaka 2024 kilichofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Juma Mkomi (hayupo pichani) wakati akizungumza

John Bukuku By John Bukuku

PROFESA MKENDA AWATAKA WALIMU KUPOKEA WANAFUNZI WANAOTOKA KWENYE MAENEO YA MAFURIKO ILI KUENDELEA NA MASOMO

Na Sophia Kingimali. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi Profesa Adolf Mkenda ametoa rai kwa walimu wakuu nchini kupokea watoto wanaopelekwa kwenye shule zao wanaotoka kwenye majanga ya mafuriko ili kuendelea na masomo huku taratibu zingine zikiwa zinaendelea. Hayo amezungumza leo Aprili 24,2024 jijini Dar es salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari amesema kufuatia mvua kubwa zinazoendelea

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

SERIKALI: YAZITAKA TAASISI ZA FEDHA ZA KUTOA MIKOPO KUFUATA UTARATIBU

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akijibu swali bungeni jijini Dodoma la Mheshimiwa Felista Deogratius Njau, Mbunge Viti Maalum aliyetaka kufahamu hatua zinazochukuliwa na Serikali kwa Taasisi

John Bukuku By John Bukuku

KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA AWAPONGEZA WAFANYAKAZI WA WIZARA HIYO NA TAASISI ZAKE

Na Sophia Kingimali. KATIBU Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu Mwamba amewapongeza wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Taasisi zake kwa kujisimamia vyema katika utekelezaji wa majukumu kwa kufuata miongozo

John Bukuku By John Bukuku