- Advertisement -
Na, Mwandishi wetu Zanzibar.. Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa wametangaza Mapokezi Makubwa na ya Kihistoria ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo Ndugu Jokate Urban Mwegelo (MNEC)na Naibu Katibu Mkuu UVCCM Zanzibar Ndugu Abdi Mahmood Abdi, Mapokezi hayo yatafanyika siku ya Jumamosi tarehe 20 April 2024 ofisi kuu Zanzibar kuanzia saa 2:00 Asubuhi. Akizungumza na…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiagana na Waziri wa Fedha, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango - Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum pamoja na viongozi wengine wa Shirikisho la Taasisi za Wakaguzi wa Ndani Afrika (AFIIA) mara baada ya kufungua Mkutano wa 10 wa Shirikisho hilo unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa…
NJOMBE Katibu mkuu wa Chama cha mapinduzi CCM Taifa Balozi Dokta Emmanuel Nchimbi anatarajia kuwasili mkoani Njombe april 18 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kuzungumza na wanaccm pamoja na wananchi juu ya changamoto zinazowasibu katika maeneo yao Mbele ya vyombo vya habari Katibu wa siasa,Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Njombe Josaya Luoga amesema akiwa Mkoani…
Jina langu ni Moses kutokea Kigoma nchini Tanzania, katika umri wangu wa miaka 31, naweza kusema kuwa kama mwanaume, roho iko rehani muda wote katika utafutaji, tunatafuta katika mazingira magumu sana. Mimi ninafanya kazi ya kuendesha boda boda lakini pia hufanya shughuli za kununua mazao kijijini na kuyaleta mjini. Siku moja nikaenda kijijini kutafuta mazao ya kununua lakini ikupata ya…
MUONEKANO wa jengo jipya la Skuli ya Msingi ya Hamid Ameir Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja, iliyofunguliwa leo 17-4-2024 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ikiwa ni shamrashamra za sherehe za Maadhimisho ya Miaki 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la…
Na Sophia Kingimali. HOSPITALI ya Taifa Muhimbili(MNH) imepokea mashine ya kisasa ya uchunguzi wa saratani ya matiti kwa wanawake ambayo pia itatumika katika kuwafundishia wataalam na kufanya utafiti. Pia wanawake wameaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya matiti kuhakikisha wanapata tiba ya haraka pindi wanapogundulika na tatizo hilo kuepusha madhara makubwa yanayoweza kutokea. Akizungumza leo wakati wa mapokezi ya mashine hiyo…
Rais wa TUCTA ,Tumaini Nyamhokya akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maandalizi hayo mkoani Arusha leo. Mwenyekiti wa kamati ya habari na matangazo mei Mosi, Jane Mihanji akifafanua jambo katika kikao hicho na waandishi wa habari …
Confirmed
0
Death
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiagana na Waziri wa Fedha, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango - Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya…
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza jambo wakati akiongoza ujumbe wa Tanzania katika kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika la…
Sign in to your account