- Advertisement -
Shekhe Iddi Ngela ambaye ni Kiongozi wa dini Arusha akizungumza na waandishi wa habari mkoani Arusha. Shekhe Haruna Hussein akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika kikao hicho na viongozi wa dini ............ Happy Lazaro, Arusha Baadhi ya viongozi wa dini mkoani Arusha wamempongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ,Dk…
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira, Dkt.Selemani Jafo akipanda mti pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Jeshini,Manispaa ya Ilemela, leo alipozindua Mradi wa Twiga wa Kijani wa kupanda miti 6,000 katika shule za 60 za mikoa sita ya Tanzania Bara. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege (ATCL), Mhandisi Ladislaus Matindi,wanafunzi wa shule ya Msingi Jeshini katika Manispaa…
Serikali imewashauri watanzania kutumia fursa ya mpango wa biashara wa Nchi zinazoendelea kwa kuhakikisha wanapeleka bidhaa katika nchi ya Uingereza ili kukuza Uchumi pamoja na pato la Taifa. Mpango huo mpya umeanza kutumika mwaka jana 2023 ambapo Serikali ya Uingereza iko tayari kupokea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa nchini zikiwemo zenye kulipiwa ushuru na zisizolipiwa. Waziri wa Viwanda na Biashara,Mhe. Dkt.…
Mhasibu Mwandamizi wa DIB Silvani Makole akiwasilisha mada kuhusu Ufilisi wa Benki ya Wananchi Meru mbele ya wafanyakazi pamoja na viongozi wa vijiji wa Wilaya ya Arumeru. Kaimu Mkurugenzi Wilaya ya Arumeru Dkt Amani Sanga akifungua rasmi mafunzo ya DIB kwa wafanyakazi na viongozi wa vijiji mbalimbali wa Halmashauri ya Meru. Meneja Uendeshaji wa Bodi ya Bima ya Amana Nkanwa…
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara l, Dkt Suleiman Hassan Serera akifungua kikao cha kujadili mradi wa kuboresha upatikanaji wa huduma za maji vijijini kwa ubia na sekta binafsi (PPP) ulioandaliwa na mamlaka ya maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA). Na Mwandishi wetu, Simanjiro BAADHI ya wafugaji Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wameonywa kutoharibu miundombinu inayosambaza maji kwa jamii,…
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Machi 29 Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, anatarajia kuzindua rasmi kitabu chake ambacho kinahusu masuala mazima ya maadili, kitabia ndani ya jamii hususan kwa kundi la vijana, ifikapo mfungo mosi. Aidha amewaasa watanzania kujenga tabia ya kusaidia makundi maalum pamoja na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu (yatima) kwa nyakati zote isiishie mwezi mtukufu wa Ramadan…
Imagine calling someone who does not speak your language, say, French, then the other person speaks in French, but your phone relays the phone call to you in English. Is this even possible? Can such an evolution be already happening? Yes. It is happening through the newly-launched, AI-Powered, Samsung S24. The S24 comes with several AI-powered features, including Live Translate.…
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed akizungumza kwenye kikao cha mapitio ya utekelezaji wa maagizo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge na Hesabu za serikali LAAC Halmashauri ya Mji wa Mbinga Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Rehema Sefu Madenge akizungumza kwenye kikao cha mapitio ya utekelezaji wa maagizo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge na Hesabu…
Confirmed
0
Death
0
Mhasibu Mwandamizi wa DIB Silvani Makole akiwasilisha mada kuhusu Ufilisi wa Benki ya Wananchi Meru mbele ya wafanyakazi pamoja na viongozi wa vijiji wa Wilaya ya Arumeru. Kaimu Mkurugenzi Wilaya…
Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Mh. Kasilda Mgeni ameagiza Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilayani humo kutumia ubunifu, Weledi pamoja na busara katika kudhibiti mianya ya…
Sign in to your account