Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest news

WAGANGA WAFAWIDHI NCHINI NA WATUMISHI NDANI YA SEKTA YA AFYA WATAKIWA KUTOKUWA KIKWAZO KWA WAWEKEZAJI

 NAIBU  Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel,akizungumza wakati akifunga Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Afya ya Msingi uliofanyika  kwa  siku Tatu ulioshirikisha  washiriki kutoka ndani na nje ya nchi Jijini Dodoma.  NAIBU  Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel,akisisitiza jambo  wakati akifunga Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa Afya ya Msingi uliofanyika  kwa  siku Tatu ulioshirikisha  washiriki kutoka ndani na

Alex Sonna By Alex Sonna

MKUU WA WILAYA YA ILALA AIPONGEZA AKIBA COMMERCIAL BANK

Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Edward Mpogolo ameipongeza ACB kwa kuandaa hafla ya kufuturisha wateja, Wafanyakazi na wadau mbalimbali wa Benki hiyo iliyofanyika Jijini Dar es Salaam katika hoteli ya Serena tarehe 25 Machi, 2024, akiongea katika hafla hiyo ambayo Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Ilala ndiye aliyekuwa Mgeni rasmi, Mhe. Mpogolo amesema kwamba “kitendo cha kufuturisha kilichofanywa na

John Bukuku By John Bukuku

MWENYEKITI WA BODI AKIBA COMMERCIAL ATOA NENO LA SHUKRANI KWA WATEJA, WAFANYAKAZI

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Akiba Commercial Bank Plc Bi. Catherine Kimaryo amewashukuru Wateja, Wafanyakazi na Wadau wote wa ACB kwa kuitikia kwa wingi mwaliko wa hafla ya futari uliofanyika Jumatatu tarehe 25 Machi, 2024 katika hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo . Pia hafla hiyo

John Bukuku By John Bukuku

DCEA KANDA YA KASKAZINI YATOA ELIMU YA MADHARA YA DAWA ZA KULEVYA MPAKANI  WA OSBP HOLILI, SEKONDARI HOLILI NAO WAFIKIWA

Na Prisca Libaga Maelezo Kilimanjaro Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini tarehe 27.03.2024 ilitoa elimu juu ya madhara ya matumizi na usafirishaji haramu wa dawa za kulevya na kemikali bashirifu kwa Maafisa Udhibiti wapatao 40 wa Mpaka wa OSBP Holili, Wilayani Rombo katika Mkoa wa Kilimanjaro. Maafisa waliopatiwa elimu hiyo wanatoka katika Taasisi

Alex Sonna By Alex Sonna

RC KUNENGE- MABARAZA YA ARDHI LA NYUMBA YATENDE HAKI ,HAKUNA ALIYEJUU YA SHERIA

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani ,Abubakar Kunenge ametoa rai kwa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba kufanyakazi kwa kuhakikisha yanatenda haki kwa wananchi kwani hakuna aliye juu ya sheria. Aidha ameeleza kuwepo kwa mabaraza hayo ni matarajio yake kuona migogoro ya ardhi inakwenda kupungua ama kumalizika na kubakia historia katika mkoa huo. Kunenge alitoa rai hiyo, wakati

Alex Sonna By Alex Sonna

DAS MAGOGWA AWAASA WANANCHI KUJIEPUSHA NA UKATAJI MITI KIHOLELA,BADALA YAKE WAPANDE MITI

Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha KATIBU Tawala wilaya ya Kibaha , mkoa wa Pwani, Moses Magogwa amewaasa wananchi kujiepusha na ukataji miti kiholela na badala yake wajenge tabia ya kupanda miti na kuitunza kwani  ndio jawabu la kupambana na uharibifu wa mazingira. Ameeleza hayo wakati Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania

Alex Sonna By Alex Sonna

MWENYEKITI WA KIJIJI JELA MIAKA MINNE KWA KUPOKEA RUSHWA

Mahakama ya Wilaya Kiteto,Imemhukumu MAMBE MOHAMED MAMBE, Mwenyekiti wa Kijiji cha Nasetan, Kata ya Engusero, Wilaya ya Kiteto Mkoa wa Manyara. Mshtakiwa ametiwa hatiani na kuamriwa kwenda Jela miaka minne au kulipa faini ya shilingi 1,000,000/= kwa makosa ya kuomba na kupokea hongo kiasi cha shilingi 60,000/= kinyume na k/f 15(1)(a) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura

John Bukuku By John Bukuku

AFISA MTENDAJI WA KIJIJI HATIANI KWA UBADHIRIFU

Mahakama ya Wilaya ya Mbulu imemhukumu MELKIADI ZAKARIA TLEHEMA aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Hayloto kata ya Nambris, Wilaya ya Mbulu Mkoa wa Manyara. Mshtakiwa ametiwa hatiani kwa makosa mawili ambayo ni Ubadhirifu na Matumizi Mabaya ya Madaraka, makosa hayo ni kinyume na kifungu cha 28 na kifungu cha 31cha Sheria Ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa sura ya

John Bukuku By John Bukuku
- Advertisement -
Ad imageAd image
- Advertisement -
Ad imageAd image

Follow US

- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image
- Advertisement -
Ad image

Biashara

AFISA MTENDAJI WA KIJIJI HATIANI KWA UBADHIRIFU

Mahakama ya Wilaya ya Mbulu imemhukumu MELKIADI ZAKARIA TLEHEMA aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Hayloto kata ya Nambris, Wilaya ya Mbulu Mkoa wa Manyara. Mshtakiwa ametiwa hatiani kwa makosa

John Bukuku By John Bukuku

MAKAMU WA RAIS AHITIMISHA JUKWAA LA UWEKEZAJI LA CHINA NA TANZANIA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifuatilia mawasilisho mbalimbali wakati wa Jukwaa la Uwekezaji kati ya China na Tanzania lililofanyika katika Ukumbi wa

John Bukuku By John Bukuku