- Advertisement -
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa “Think Equal Lead Smart” uliofanyika jijini Dar Es Salaam Aprili 18, 2023. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya CEO Roundtable of Tanzania Santina Benson akitoa maelezo kuhusu mradi wa “Think Equal Lead Smart” wakati wa uzinduzi wa mradi huo uliofanyika…
Na John Walter-Kilimanjaro Askari Polisi kutoka Ukanda wa Mashariki Mwa Afrika wametakiwa kujiweka imara katika kukabiliana na uhalifu unaovuka mipaka, usafirishaji haramu wa binadamu pamoja na usafirishaji wa dawa za kulevya. Akizungumza Aprili 17, 2024 wakati akifunga rasmi zoezi la utayari FTX USALAMA PAMOJA2024 lililofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania Moshi Mkoani Kilimanjaro Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya…
Na Mwamvua Mwinyi, Rufiji April 19 Jeshi la Wananchi wa Tanzania limetoa magari kumi kwa ajili ya kusaidia kusafirisha vyakula kwenda kwenye makambi ya waathirika wa mafuriko walioko kwenye Wilaya za Rufiji na Kibiti Mkoa wa Pwani. Akipokea Magari hayo April 18, 2024 Wilayani Rufiji, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amempongeza Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Uturuki Mhe. Recep Tayyip Erdogan wakati wakiangalia album ya picha za matukio ya Ziara Rasmi aliyoifanya katika Ikulu ya Kulliye Ankara nchini Uturuki tarehe 18 Aprili, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye…
Jina langu ni Mkoi kutokea Manyara nchini Tanzania, ni kijana wa miaka 25, nilikuwa na mahusiano na msichana ambaye nilimpenda sana na kila kitu nilikuwa nampa ila nikaona hiyo haitoshi. Nikamtafutia kazi sheli, akawa analipwa na mshahara wake mzuri tu, cha kusikitisha hiyo ndio ikawa chanzo cha kunisahau mimi kama mpenzi wake baada ya kuona wengine wazuri huko nje. Visa…
-Akerwa na mazingira ya uchafu Coco beach -Asema Coco beach ni ya wanyonge akemea uendelezaji usio na tija katika fukwe hiyo ya Coco beach Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila katika muendelezo wa ziara yake leo April 18,2024 amatembelea fukwe ya Coco beach Wilaya ya Kinondoni Jijini humo. Akiwa katika eneo la fukwe ya Coco RC…
Confirmed
0
Death
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango akiagana na Waziri wa Fedha, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango - Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya…
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza jambo wakati akiongoza ujumbe wa Tanzania katika kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika la…
Sign in to your account