Alvaro Morata akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Juventus mabao yote dakika ya 46 na 84 ikiwalaza wenyeji, FC Dynamo Kyiv 2-0 katika mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki Jijini Kiev, Ukraine PICHA SOMA GONGA HAPA