Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimnyanyua mtoto Safina Selemani (3) wakati aliposhiriki katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru kwenye kijiji alichozaliwa cha Nandagala wilayani Ruangwa, Oktoba 9, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Muhidin Hassan Said wakati alipoingia kwenye duka la mfanybiashara huyo katika kijiji alichozaliwa cha Nandagala wilayani Ruangwa, Oktoba 9, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na vijana wa kikundi cha uhamsishaji cha wilaya ya Ruangwa kwenye ukumbi wa Ofisi ya CCM ya wilaya ya wilaya hiyo, Oktoba 9, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)